11. Je! Utulizi wa Mungu ni mdogo sana kwako,Na hilo neno la upole si kitu kwako?
12. Mbona moyo wako unakutaharakisha!Na macho yako, je! Kwani kung’ariza?
13. Hata ukageuza roho yako iwe kinyume cha Mungu,Na kuyatoa maneno kama hayo kinywani mwako.