Ayu. 13:19-23 Swahili Union Version (SUV)

19. Yuko nani atakayeshindana nami?Maana sasa nitanyamaa kimya na kutoa roho.

20. Lakini msinifanyie mambo mawili, hayo tu,Ndipo nami sitajificha usoni pako;

21. Uondoe mkono wako usinilemee;Na utisho wako usinitie hofu.

22. Basi uite wakati huo, nami nitaitika;Au, niache ninene mimi, nawe unijibu.

23. Maovu yangu na dhambi zangu ni ngapi?Nijulishe kosa langu na dhambi yangu.

Ayu. 13