1. Tazama, jicho langu limeyaona hayo yote,Sikio langu limeyasikia na kuelewa nayo.
2. Hayo myajuayo ninyi, na mimi pia nayajua;Mimi si duni kuliko ninyi.
3. Hakika ningenena naye huyo Mwenyezi,Nami nataka kuhojiana na Mungu.
4. Lakini ninyi hubuni maneno ya uongo,Ninyi nyote ni matabibu wasiofaa.