11. Kwani yeye awajua watu baradhuli;Huona na uovu pia, hata asipoufikiri.
12. Lakini mpumbavu aweza kupata ufahamu,Ingawa mwanadamu huzaliwa kama mtoto wa punda-mwitu.
13. Wewe ukiuweka moyo wako kwa uelekevu,Na kumnyoshea mikono yako;
14. Ikiwa una uovu mkononi mwako, uweke mbali nawe,Wala usikubali upuzi kukaa hemani mwako;
15. Hakika ndipo utakapopata kuinua uso pasipo ila;Naam, utathibitika, wala hutakuwa na hofu;
16. Kwa kuwa utasahau mashaka yako;Utayakumbuka kama maji yaliyokwisha pita;