20. Je! Siku zangu si chache? Acha basi,Usinisumbue, nipate ngaa kutuzwa moyo kidogo.
21. Kabla sijaenda huko ambako sitarudi kutoka huko tena,Ni hiyo nchi ya giza, giza tupu;
22. Ni nchi ya giza kuu, kama giza lenyewe lilivyo;Ni nchi ya giza tupu, isiyo na matengezo ya mambo yo yote,Nchi ambayo nuru yake ni kama giza.