Ayu. 1:15 Swahili Union Version (SUV)

mara Waseba wakawashambulia, wakawachukua wakaenda nao; naam, wamewaua hao watumishi kwa makali ya upanga, mimi peke yangu nimepona, mimi tu, kukuletea habari.

Ayu. 1

Ayu. 1:12-20