Amu. 9:4 Swahili Union Version (SUV)

Wakampa vipande vya fedha sabini vilivyotoka katika nyumba ya Baal-berithi, na kwa fedha hizo Abimeleki akaajiri watu wapuuzi mabaradhuli, wafuatane naye.

Amu. 9

Amu. 9:1-14