Amu. 9:12-14 Swahili Union Version (SUV)

12. Kisha miti ikauambia mzabibu, Njoo wewe, utawale juu yetu.

13. Huo mzabibu nao ukaiambia, Je! Niiache divai yangu, ambayo humfurahisha Mungu na wanadamu, ili niende nikayonge-yonge juu ya miti?

14. Ndipo hiyo miti yote ikauambia mti wa miiba, Njoo wewe, utawale juu yetu.

Amu. 9