Amu. 8:19 Swahili Union Version (SUV)

Naye akasema, Watu hao walikuwa ndugu zangu, wana wa mamaangu mimi; kama yeye BWANA alivyo hai, kwamba mliwaokoa hai watu hao, mimi nisingewaua ninyi.

Amu. 8

Amu. 8:11-26