Amu. 8:1 Swahili Union Version (SUV)

Basi watu wa Efraimu wakamwambia, Kwa nini wewe kututendea sisi kama haya? Hata usituite, hapo ulipokwenda kupigana na Midiani? Nao wakateta naye sana.

Amu. 8

Amu. 8:1-11