Amu. 6:29 Swahili Union Version (SUV)

Wakaambiana, Ni nani aliyetenda jambo hili? Hata walipotafuta habari na kuuliza, wakasema, Gideoni, mwana wa Yoashi, ndiye aliyetenda jambo hili.

Amu. 6

Amu. 6:20-36