Amu. 4:2 Swahili Union Version (SUV)

BWANA akawauza na kuwatia katika mkono wa Yabini, mfalme wa Kanaani, aliyetawala huko Hazori; na Sisera, aliyekaa katika Haroshethi wa Mataifa, alikuwa amiri wa jeshi lake.

Amu. 4

Amu. 4:1-11