Amu. 4:18 Swahili Union Version (SUV)

Yaeli akatoka kwenda kumlaki Sisera, akamwambia, Karibu Bwana wangu, karibu kwangu; usiogope. Akakaribia kwake hemani, naye akamfunika kwa bushuti.

Amu. 4

Amu. 4:10-24