Amu. 4:16 Swahili Union Version (SUV)

Lakini Baraka akayafuatia magari, na jeshi, hata Haroshethi wa Mataifa; na hilo jeshi lote la Sisera likaanguka kwa makali ya upanga; hakusalia hata mtu mmoja.

Amu. 4

Amu. 4:9-18