Amu. 3:31 Swahili Union Version (SUV)

Tena baada yake huyo alikuwapo Shamgari mwana wa Anathi, aliyepiga katika Wafilisti watu mia sita kwa konzo la ng’ombe; yeye naye aliwaokoa Israeli.

Amu. 3

Amu. 3:30-31