Amu. 21:12 Swahili Union Version (SUV)

Nao wakapata katika wenyeji wa Yabesh-gileadi wanawali mia nne, ambao hawajamjua mtu mume kwa kulala naye; basi wakawaleta maragoni huko Shilo, ulioko katika nchi ya Kanaani.

Amu. 21

Amu. 21:2-22