Amu. 20:42 Swahili Union Version (SUV)

Kwa hiyo wakageuza maungo yao mbele ya wana wa Israeli kuelekea njia ya kwenda nyikani; lakini vile vita vikawaandamia kwa kasi; na hao waliotoka katika ile miji wakawaangamiza katikati yake.

Amu. 20

Amu. 20:36-46