Amu. 19:6 Swahili Union Version (SUV)

Basi wakaketi, wakala na kunywa wote wawili pamoja; kisha baba yake mwanamke akamwambia huyo mtu, Uwe radhi, tafadhali, ukae usiku kucha, na moyo wako na ufurahi.

Amu. 19

Amu. 19:1-8