Amu. 19:15 Swahili Union Version (SUV)

Wakageuka huko, wapate kuingia na kulala katika Gibea; akaingia ndani, akaketi katika njia kuu ya mji; kwa kuwa hapakuwa na mtu awaye yote aliyewakaribisha nyumbani kwake kulala.

Amu. 19

Amu. 19:12-25