Amu. 16:20 Swahili Union Version (SUV)

Kisha akasema, Samsoni, Wafilisti wanakujia. Akaamka katika usingizi wake, akasema, Nitakwenda nje kama siku nyingine, na kujinyosha. Lakini hakujua ya kuwa BWANA amemwacha.

Amu. 16

Amu. 16:16-22