Amu. 13:14 Swahili Union Version (SUV)

Asile kitu cho chote kitokacho katika mzabibu, wala asinywe divai, wala mvinyo, wala asile kitu cho chote kilicho najisi; hayo yote niliyomwamuru na ayatunze.

Amu. 13

Amu. 13:12-21