Amu. 11:37 Swahili Union Version (SUV)

Kisha akamwambia baba yake, Basi na nifanyiwe neno hili; niache peke yangu muda wa miezi miwili, ili nipate kwenenda milimani, na kuombolea uanawali wangu, mimi na wenzangu.

Amu. 11

Amu. 11:32-40