Amo. 4:11 Swahili Union Version (SUV)

Baadhi yenu nimewaangamiza, kama hapo Mungu alipoiangamiza Sodoma na Gomora, nanyi mkawa kama kinga kilichonyakuliwa motoni; lakini hamkunirudia mimi, asema BWANA.

Amo. 4

Amo. 4:10-13