2 Yoh. 1:9 Swahili Union Version (SUV)

Kila apitaye cheo, wala asidumu katika mafundisho ya Kristo, yeye hana Mungu. Yeye adumuye katika mafundisho hayo, huyo ana Baba na Mwana pia.

2 Yoh. 1

2 Yoh. 1:3-13