2 Yoh. 1:3 Swahili Union Version (SUV)

Neema, na rehema, na amani, zitokazo kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo Mwana wa Baba, zitakuwa pamoja nasi katika kweli na upendo.

2 Yoh. 1

2 Yoh. 1:2-11