11. Maana yeye ampaye salamu azishiriki kazi zake mbovu.
12. Kwa kuwa ninayo mambo mengi, sitaki kuyaandika kwa karatasi na wino; lakini nataraji kuja kwenu, na kusema nanyi uso kwa uso, ili furaha yetu iwe imetimizwa.
13. Watoto wa ndugu yako aliye mteule, wakusalimu.