2 Yoh. 1:11-13 Swahili Union Version (SUV)

11. Maana yeye ampaye salamu azishiriki kazi zake mbovu.

12. Kwa kuwa ninayo mambo mengi, sitaki kuyaandika kwa karatasi na wino; lakini nataraji kuja kwenu, na kusema nanyi uso kwa uso, ili furaha yetu iwe imetimizwa.

13. Watoto wa ndugu yako aliye mteule, wakusalimu.

2 Yoh. 1