2 Tim. 3:8 Swahili Union Version (SUV)

Na kama vile Yane na Yambre walivyopingana na Musa, vivyo hivyo na hawa wanapingana na ile kweli; ni watu walioharibika akili zao, wamekataliwa kwa mambo ya imani.

2 Tim. 3

2 Tim. 3:1-11