2 Tim. 2:21 Swahili Union Version (SUV)

Basi ikiwa mtu amejitakasa kwa kujitenga na hao, atakuwa chombo cha kupata heshima, kilichosafishwa, kimfaacho Bwana, kimetengenezwa kwa kila kazi iliyo njema.

2 Tim. 2

2 Tim. 2:20-22