2 Tim. 1:16-18 Swahili Union Version (SUV)

16. Bwana awape rehema wale walio wa mlango wake Onesiforo; maana mara nyingi aliniburudisha, wala hakuuonea haya mnyororo wangu;

17. bali, alipokuwapo hapa Rumi, alinitafuta kwa bidii akanipata.

18. Bwana na ampe kuona rehema machoni pa Bwana siku ile. Na jinsi alivyonihudumia kwa mengi huko Efeso, wewe unajua sana.

2 Tim. 1