2 Tim. 1:12 Swahili Union Version (SUV)

Kwa sababu hiyo nimepatikana na mateso haya, wala sitahayari; kwa maana namjua yeye niliyemwamini, na kusadiki ya kwamba aweza kukilinda kile nilichokiweka amana kwake hata siku ile.

2 Tim. 1

2 Tim. 1:11-18