2 The. 3:6 Swahili Union Version (SUV)

Ndugu, twawaagiza katika jina la Bwana Yesu Kristo, jitengeni nafsi zenu na kila ndugu aendaye bila utaratibu, wala si kwa kufuata mapokeo mliyoyapokea kwetu.

2 The. 3

2 The. 3:1-11