2 Sam. 9:6 Swahili Union Version (SUV)

Basi Mefiboshethi, mwana wa Yonathani, mwana wa Sauli akaenda kwa Daudi, akaanguka kifudifudi, akasujudu. Daudi akasema, Mefiboshethi! Naye akaitika, Mimi hapa, mtumwa wako!

2 Sam. 9

2 Sam. 9:3-8