2 Sam. 9:2 Swahili Union Version (SUV)

Palikuwa na mtumishi mmoja wa nyumba ya Sauli, jina lake Siba, basi wakamwita aende kwa Daudi; na mfalme akamwuliza, Wewe ndiwe Siba? Naye akasema Mimi, mtumwa wako ndiye.

2 Sam. 9

2 Sam. 9:1-7