2 Sam. 8:4 Swahili Union Version (SUV)

Daudi akampokonya wapanda farasi elfu na mia saba na askari waliokwenda kwa miguu ishirini elfu; Daudi akawakata mshipa farasi wote wa magari, ila farasi wa magari mia akawasaza.

2 Sam. 8

2 Sam. 8:1-13