2 Sam. 8:2 Swahili Union Version (SUV)

Akapiga Moabu, akawapima kwa kamba hali wamelazwa chini; akapima kamba mbili za kuuawa, na kamba moja nzima ya kuhifadhi hai. Wamoabi wakawa watumwa wa Daudi, wakaleta zawadi.

2 Sam. 8

2 Sam. 8:1-3