2 Sam. 7:8 Swahili Union Version (SUV)

Basi, sasa, mwambie mtumishi wangu, Daudi, maneno haya, BWANA wa majeshi asema hivi, Nalikutwaa katika zizi la kondoo, katika kuwaandama kondoo, ili uwe mkuu juu ya watu wangu, juu ya Israeli;

2 Sam. 7

2 Sam. 7:6-14