2 Sam. 7:18 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo Daudi, mfalme, akaingia, akaketi mbele za BWANA, akasema, Mimi ni nani, Bwana MUNGU, na nyumba yangu ni nini, hata umenileta hata hapa?

2 Sam. 7

2 Sam. 7:11-28