2 Sam. 6:17 Swahili Union Version (SUV)

Wakaliingiza sanduku la BWANA, na kuliweka mahali pake, katikati ya hema aliyoipiga Daudi kwa ajili yake, naye Daudi akatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani mbele za BWANA.

2 Sam. 6

2 Sam. 6:15-23