2 Sam. 6:11 Swahili Union Version (SUV)

Sanduku la BWANA akalitia katika nyumba ya Obed-edomu, Mgiti, muda wa miezi mitatu; naye BWANA akambarikia Obed-edomu, na nyumba yake yote.

2 Sam. 6

2 Sam. 6:3-16