2 Sam. 5:20 Swahili Union Version (SUV)

Basi Daudi akaja Baal-perasimu, naye Daudi akawapiga huko; akasema, BWANA amewafurikia adui zangu mbele yangu, kama mafuriko ya maji. Basi akapaita mahali pale Baal-perasimu.

2 Sam. 5

2 Sam. 5:19-25