2 Sam. 3:22 Swahili Union Version (SUV)

Na tazama, watumishi wa Daudi pamoja na Yoabu walitoka jeshini, wakaleta mateka mengi pamoja nao; lakini Abneri hakuwako Hebroni kwa Daudi; maana alikuwa amemruhusu, naye amekwisha kwenda zake kwa amani.

2 Sam. 3

2 Sam. 3:18-24