2 Sam. 3:18 Swahili Union Version (SUV)

basi, sasa, fanyeni hayo; kwa maana BWANA amemtaja Daudi, akisema, kwa mkono wa mtumishi wangu, Daudi, nitawaokoa watu wangu Israeli katika mikono ya Wafilisti, na katika mikono ya adui zao wote.

2 Sam. 3

2 Sam. 3:15-25