2 Sam. 3:13 Swahili Union Version (SUV)

Daudi akasema, Vema, nitafanya agano nawe, lakini nina sharti moja nitakalo kwako, nalo ni hili; Hutaniona uso wangu, isipokuwa uniletee Mikali, binti Sauli, hapo ujapo kuniona uso wangu.

2 Sam. 3

2 Sam. 3:8-18