2 Sam. 24:25 Swahili Union Version (SUV)

Naye Daudi akamjengea BWANA madhabahu huko, akatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani. Basi BWANA aliiridhia nchi, na tauni ikazuiliwa katika Israeli.

2 Sam. 24

2 Sam. 24:19-25