2 Sam. 24:14 Swahili Union Version (SUV)

Naye Daudi akamwambia Gadi, Nimeingia katika mashaka sana; basi sasa na tuanguke katika mkono wa BWANA; kwa kuwa rehema zake ni nyingi; wala nisianguke katika mkono wa wanadamu.

2 Sam. 24

2 Sam. 24:5-16