36. na Igali, mwana wa Nathani, wa Soba, na Bani, Mgadi;
37. na Seleki, Mwamoni, na Naharai, Mbeerothi, ambao ni wachukua silaha wa Yoabu, mwana wa Seruya;
38. na Ira, Mwithri, na Garebu, Mwithri;
39. na Uria, Mhiti; jumla yao ilikuwa watu thelathini na saba.