32. na Eliaba, Mshaalboni, na wana wa Yasheni; na Yonathani,
33. mwana wa Shama, Mharari, na Ahiamu, mwana wa Shalali, Mharari;
34. na Elifeleti, mwana wa Ahasbai, na Heferi, Mmaakathi, na Eliamu, mwana wa Ahithofeli, Mgiloni;
35. na Hezro, Mkarmeli, na Paarai, Mwarbi;
36. na Igali, mwana wa Nathani, wa Soba, na Bani, Mgadi;
37. na Seleki, Mwamoni, na Naharai, Mbeerothi, ambao ni wachukua silaha wa Yoabu, mwana wa Seruya;
38. na Ira, Mwithri, na Garebu, Mwithri;