2 Sam. 23:32-38 Swahili Union Version (SUV)

32. na Eliaba, Mshaalboni, na wana wa Yasheni; na Yonathani,

33. mwana wa Shama, Mharari, na Ahiamu, mwana wa Shalali, Mharari;

34. na Elifeleti, mwana wa Ahasbai, na Heferi, Mmaakathi, na Eliamu, mwana wa Ahithofeli, Mgiloni;

35. na Hezro, Mkarmeli, na Paarai, Mwarbi;

36. na Igali, mwana wa Nathani, wa Soba, na Bani, Mgadi;

37. na Seleki, Mwamoni, na Naharai, Mbeerothi, ambao ni wachukua silaha wa Yoabu, mwana wa Seruya;

38. na Ira, Mwithri, na Garebu, Mwithri;

2 Sam. 23