2 Sam. 23:27-35 Swahili Union Version (SUV)

27. na Abiezeri, Mwanathothi, na Sibekai, Mhushathi;

28. na Salmoni, Mwahohi, na Maharai, Mnetofathi;

29. na Heledi, mwana wa Baana, Mnetofathi, na Itai, mwana wa Ribai, wa Gibea wa wana wa Benyamini;

30. na Benaya, Mpirathoni, na Hurai, wa vijito vya Gaashi;

31. na Abieli, Mwarbathi, na Azmawethi, Mbarhumi;

32. na Eliaba, Mshaalboni, na wana wa Yasheni; na Yonathani,

33. mwana wa Shama, Mharari, na Ahiamu, mwana wa Shalali, Mharari;

34. na Elifeleti, mwana wa Ahasbai, na Heferi, Mmaakathi, na Eliamu, mwana wa Ahithofeli, Mgiloni;

35. na Hezro, Mkarmeli, na Paarai, Mwarbi;

2 Sam. 23