2 Sam. 23:24-38 Swahili Union Version (SUV)

24. Asaheli, nduguye Yoabu, alikuwa mmojawapo wa wale thelathini; na Elhanani, mwana wa Dodo, wa Bethlehemu;

25. na Shama, Mharodi, na Elika, Mharodi;

26. na Helesi, Mpeloni, na Ira, mwana wa Ikeshi, Mtekoi;

27. na Abiezeri, Mwanathothi, na Sibekai, Mhushathi;

28. na Salmoni, Mwahohi, na Maharai, Mnetofathi;

29. na Heledi, mwana wa Baana, Mnetofathi, na Itai, mwana wa Ribai, wa Gibea wa wana wa Benyamini;

30. na Benaya, Mpirathoni, na Hurai, wa vijito vya Gaashi;

31. na Abieli, Mwarbathi, na Azmawethi, Mbarhumi;

32. na Eliaba, Mshaalboni, na wana wa Yasheni; na Yonathani,

33. mwana wa Shama, Mharari, na Ahiamu, mwana wa Shalali, Mharari;

34. na Elifeleti, mwana wa Ahasbai, na Heferi, Mmaakathi, na Eliamu, mwana wa Ahithofeli, Mgiloni;

35. na Hezro, Mkarmeli, na Paarai, Mwarbi;

36. na Igali, mwana wa Nathani, wa Soba, na Bani, Mgadi;

37. na Seleki, Mwamoni, na Naharai, Mbeerothi, ambao ni wachukua silaha wa Yoabu, mwana wa Seruya;

38. na Ira, Mwithri, na Garebu, Mwithri;

2 Sam. 23