24. Asaheli, nduguye Yoabu, alikuwa mmojawapo wa wale thelathini; na Elhanani, mwana wa Dodo, wa Bethlehemu;
25. na Shama, Mharodi, na Elika, Mharodi;
26. na Helesi, Mpeloni, na Ira, mwana wa Ikeshi, Mtekoi;
27. na Abiezeri, Mwanathothi, na Sibekai, Mhushathi;
28. na Salmoni, Mwahohi, na Maharai, Mnetofathi;