2 Sam. 23:24-28 Swahili Union Version (SUV)

24. Asaheli, nduguye Yoabu, alikuwa mmojawapo wa wale thelathini; na Elhanani, mwana wa Dodo, wa Bethlehemu;

25. na Shama, Mharodi, na Elika, Mharodi;

26. na Helesi, Mpeloni, na Ira, mwana wa Ikeshi, Mtekoi;

27. na Abiezeri, Mwanathothi, na Sibekai, Mhushathi;

28. na Salmoni, Mwahohi, na Maharai, Mnetofathi;

2 Sam. 23